| Hii ndio Helbopta iliyowakusanya wana Iringa leo uwanja wa Mwembetogwa |
| Dr Slaa akiwasili katika kiwanja cha Mwembetogwa leo |
| Mbunge wa jimbo la Iringa mjini mchungaji Peter Msigwa akiwahutubia wana Iringa leo |
| Mbunge Halima Mdea akiwahutubia wananchi wa jimbo la Iringa mjini leo |
| Katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na maendeleo (Chadema) Dr Slaa akimpokea kada wa CCM ambae amehamia Chadema leo ,kulia ni kata wa TLP Bw Samson |
| Dr Slaa akimpokea kada wa TLP Bw Samson Mrisho ambae amejiunga na Chadema leo uwanja wa Mwembetogwa |
| Dr Slaa akihutubia katika mkutano wa hadhara katikauwanja wa Mwembetogwa mjini Iringa leo |












0 comments:
Post a Comment