HOME »
» UPANUZI WA BARABARA MKOANI MOROGORO BADO MAJANGA TU
Kinyume na matarajio ya wengi, mradi
wa Upanuzi wa Barabara ya Morogoro, kilomita 21 kutoka katikati ya Jiji
la Dar es Salaam hadi Kimara umekuwa kero kubwa kwa wananchi wanaotumia
vyombo vya usafiri kupitia katika barabara hiyo. Tangu kuanza kwa mradi
huo yapata miaka miwili hivi iliyopita, tumeshuhudia wananchi wengi
wanaotumia barabara hiyo wakionyesha kuchoshwa na adha wanazozipata
kutokana na misururu mirefu ya magari barabarani. Gari haziendi mbele
wala kurudi nyuma, ni kero kubwa.
0 comments:
Post a Comment