.Kanali Gaddafi alikuwa na vyumba maalum kwa wafungwa wa ngono kwenye majumba yake
.Mamia ya vijana wasichana kwa wavulana walikuwa watumwa wa ngono kwake
.Dikteta huyo alitembelea shule na kuchagua vigoli ‘bikira’ wa kufanya nao ngono
.Aliuawa mwezi Oktoba 2011 baada ya miaka 42 ya udikteta
Na Damas Makangale, Kwa Msaada wa Mtandao
IMETIMIA
zaidi ya miaka miwili tangu kukamatwa na baadaye kifo cha Muammar
Gaddafi, dikteta wa Libya ambaye utawala wake wa miongo kadhaa
ulikabiliwa na umasikini mkubwa vitisho, mauaji ya kikatili kwa raia
wasio na hatia na ugaidi.
Wakati
kiongozi huyo wa zamani anatolewa nje baada ya kuanguka kwenye mtaro wa
maji machafu baada ya kupigwa risasi kati kati Oktoba 2011, kifo chake
na damu yake kilimaliza vita ya NATO ya wenyewe kwa wenyewe na alikuwa
amevuruga nchi tangu mwanzo wa mwaka huo.
Maisha
yake ya kikatili yamekuwa kama sehemu ya Walibya wengi na pole pole
baadhi ya watu kutoka kwenye kabila lake wana visasi na wanaendelea
kufanya mashambulizi ya kushtukiza mara kwa mara kwenye baadhi ya maeneo
ya nchi hiyo.
Udhalilishaji:
Hii ni kifaa kikamilifu maalum kama aina ya kitanda chenye uwezo wa
kuangalia magonjwa ya zinaa kwa wasichana wadogo kabla ya kupelekwa kwa
Dikteta Gaddafi kwa sughuli ya ngono.
Lakini
sasa kwa upande mwingine baadhi ya wasichana na wavulana waliofanyiwa
unyama na unyanyasi wa kijinsia wana uchungu na waliofanyiwa ndani ya
miaka 42 ya utawala wake kwa sababu walipigwa, kubakwa na kulazimishwa
kuwa watumwa wa ngono kwa kwake.
Taarifa
zinasema wengi walikuwa na wasichana waliotekwa nyara kutoka shule za
sekondari na vyuo vikuu kama Chuo Kikuu cha Tripoli na walikuwa
wanapokea maagizo kutoka kwa wasaidizi wa karibu wa Kanali Gaddafi
kuwapeleka katika moja ya vyumba maalumu vya ngono.
Wengi
wa wasichana waliobakwa na Kanali Gaddafi walikuwa na mabikira na
wanafunzi wa vyuo vikuu walipimwa kwanza magonjwa ya zinaa (STD) na
kisha kupelekwa katika moja ya vyumba maalum kwa kazi ya ngono.
Katika
kipindi cha miezi 26 tangu aondolewe madarakani, sehemu za ngono au
mapango ya Gaddafi ambayo yeye mara kwa mara kubaka wasichana wadogo
wenye umri wa miaka 14 ilibakia imefungwa. Lakini leo mambo ya ndani ya
sehemu za ngono za dikteta huyo katili inaweza kuonekana kwa mara ya
kwanza katika picha za mtandao wa BBC4 documentary.
Makubwa
hiki ni chumba cha kulala katika moja ya vyumba vya ngono vya Kanali
Gaddafi ambapo kuna kuta za kahawia na kitanda cha kisasa viwili ambavyo
kutumia kufanya ngono na wasichana wadogo wenye umri wa miaka 14 na
kuwanyanyasa kingono.
Ndani
ya mapango hayo wasichana walilazimishwa kuangalia picha za uchi ili
kuwafanya wawe na hamu na ushawishi wa kufanya naye ngono kati kati ya
mikono katili ya Gaddafi.
Wakati
wa mauaji yake kundi la vijana baada ya kushuhudia Kanali Gaddafi
akidondoka katika ya mitaro ya barabara baada ya kupigwa risasi katika
kichwa na kuanza kuburuzwa ovyo barabara kisha kuuwawa kinyama.
Mwalimu
mmoja wa shule Tripoli alikumbuka jinsi wasichana wote walikuwa wa
wadogo sana. Baadhi walikuwa na umri wa miaka 14 tu, “amesema. ‘Wao
walikuwa wanachukua tu wasichana wadogo wakitaka na hakuna huruma
ilikuwa ni maisha ya kuogopesha sana,” amesema mwalimu huyo.
Baadhi ya walinzi waliokuwa wakimlinda Gaddafi ambao nao walitoa rushwa ya Ngono kupata kazi.
Mama
mmoja ambaye binti yake alikuwa mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Tripoli,
anasema kwamba wanafunzi walikuwa na hofu mara tu ikitangazwa kwamba
kanali Gaddafi anakuja kutembelea wanafunzi chuoni hapo walikuwa
wanajificha lakini wapi lazima askari na mashushushu watakukamata,”
amesema mama huyo.
0 comments:
Post a Comment