Tuesday, 18 February 2014

SEMINA YA WASANII WA BONGO MOVIE KUFANYIKA IJUMAA 21 FEBUARI 2014 KATIKA UKUMBI WA VIJANA KINONDONI

   DSC_9711Mkurugenzi  Mtendaji  Kampuni ya Chief Promotion Amoni Mkoga (kulia), akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani), katika ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO), jijini Dar es Salaam  18 Februari-214 kuhusina na maandalizi ya semina ya hatimilki kwa wasanii wa Bongo Movie itakayofanyika katika ukumbi wa Vijana kinonondoni 21-Februari 2014 (katikati), Mwenyekiti wa Bongo Movi, Steven Mengere (kushoto), Meneja Msaidizi Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma (PSPF), Matilda Nyallu. DSC_9718Mwenyekiti wa Bongo Movi, Steven Mengere akifafanua jambo kwenye mkutano huo.


PICHA NA PHILEMON SOLOMON WA   DAR ES SAL
AAM

Related Posts:

0 comments: