Wajumbe
wa Mkutano wa Bunge Maalum la Katiba Stephen Ngonyani (kulia) na Dkt.
Hamis Kigwangalla (wa pili kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na
viongozi kutoka mashirikisho mbalimbali ya wasanii wa nchini . Viongozi
hao walikuwa mjini Dodoma jana kwa ajili ya kuwaomba wajumbe wa mkutano
huo kuzingatia masuala ya wasanii katika maboresho ya rasimu ya Katiba
mpya.
Picha na MAELEZO-Dodoma
ASante
kwa kutembelea blog yetu ya mbeyagreennews MUNGU
AKUBALIKI (GOD BLESS)
0 comments:
Post a Comment