Mary
Mwanjelwa Mbunge wa viti maalum CCM mkoa wa Mbeya akisalimiana na
makada wa chama hicho kushoto ni Kada wa CCM Richard Kasesela.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akimsikiliza Mkuu wa Wilaya ya
Mbeya Mh. Dr. Norman Sigalla wakati aliookuwa akizungumza jambo naye
katikati ni Kada wa CCM Bw. Mwakipesile na kuliani Mkuu wa mkoa wa Mbeya
Mh. Abas Kandoro.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na Kamnda wa polisi mkoa wa Mbeya SACP AHMED Z. MSANGI wakati wa mapokezi hayo.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza na viongozi wanawake wa mkoa wa Mbeya.
Katibu
Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akizungumza kwa msisitizo na Dr.
Harrison Mwakyembe Waziri wa Uchukuzi wakati wa mapokezi hayo.
Ndege ya Rais Jakaya Kikwete ikiwasili kwenye uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya
0 comments:
Post a Comment