Thursday, 20 February 2014

MBEYA CITY YAWEKA KAMBI MOMBASA KUIKABILI COASTAL UNION

MBEYA CITY2 be4b7
Wachezaji wa Mbeya City wakipanda ndege mchana jana Uwanja wa Ndege wa Songwe mkoani Mbeya kuelekea Mombasa, Kenya ambako watakaa hadi Jumamosi asubuhi watakapokwenda Tanga na jioni yake kucheza mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara dhidi ya wenyeji, Coastal Union Uwanja wa Mkwakwani.

Related Posts:

0 comments: