Friday, 21 February 2014

HII NDIO ZIARA YA MZEE MANGULA NCHINI CHINA

 

 Makamu Mwenyekiti wa CCM, Philip Mangula akisalimiana na Kada wa CCM, Suleiman Serera ambaye ni miongoni mwa makada walimlaki Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Beijing, China, juzi

 Msafara wa Mzee Mangula kutoka Uwanja wa Ndege wa Beijing

 Mzee Mangula akiwa na Balozi wa Tanzania Nchini China Abdulrahman Shimbo

Makamu Mangula akizungumza na Mwenyeji wake aliyempokea baada ya kuwasili nchini China, Ndg. Wang Heming ambaye ni Naibu Mkurugenzi Mkuu wa kitengo cha Mambo ya Afrika katika Idara ya Kimataifa ya Kamati Kuu ya CPC.

 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.

 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.

 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.

 Makamu Mangula akizungumza na baadhi ya makada wa CCM wa Tawi la China waliomtembelea katika hoteli ya Diaoyutai alipofikia na Ujumbe wake.

Makamu Mangula na Ujumbe wake wakiwa ktk picha ya pamoja na Makada waliopo mjini Beijing waliomtembelea ktk hoteli aliyofikia.

Related Posts:

0 comments: