……………………………………………
Zaidi ya watu 1500 kutoka katika maeneo mbalimbali ndani ya mji wa
Arusha wamefanikiwa kupewa elimu ya jinsi ya kupambana na magonjwa
mbalimbali ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha umaskini kwenye mji wa
Arusha
Arusha wamefanikiwa kupewa elimu ya jinsi ya kupambana na magonjwa
mbalimbali ambayo ndiyo chanzo kikubwa cha umaskini kwenye mji wa
Arusha
Aidha elimu hiyo pia iliweza kwenda sanjari na jinsi ya kupambana nayo
hasa kwa magonjwa ambayo yamekuwa ni kikwazo zaidi kwenye maisha ya
kila siku.
hasa kwa magonjwa ambayo yamekuwa ni kikwazo zaidi kwenye maisha ya
kila siku.
Elimu hiyo imetolewa na kanisa la T.A.G God Glory Temple lililopo
maeneo ya JR jijini Arusha ambapo kanisa hilo limedai kuwa huo ni
mkakati wa kuwasaidia jamii kwa kutoa elimu mbalimbali kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali
maeneo ya JR jijini Arusha ambapo kanisa hilo limedai kuwa huo ni
mkakati wa kuwasaidia jamii kwa kutoa elimu mbalimbali kwa kushirikiana na wataalamu mbalimbali
Akiomngea na “FULLSHANGWE”mchungaji kiongozi wa kanisa hilo Gremas Simbani
alidai kuwa watu hao waliweza kupewa elimu dhidi ya magonjwa
mbalimbali kwa kipindi cha mwaka jana
alidai kuwa watu hao waliweza kupewa elimu dhidi ya magonjwa
mbalimbali kwa kipindi cha mwaka jana
Simbani alisema kuwa uchunguzi uliofanywa na kanisa hilo umeweza
kubaini kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakabiliwa na changamoto
ya magonjwa hali ambayo inasababisha mambo mbalimbali kukwama na
badala yake lawama kuwa nyingi
kubaini kuwa asilimia kubwa ya watanzania wanakabiliwa na changamoto
ya magonjwa hali ambayo inasababisha mambo mbalimbali kukwama na
badala yake lawama kuwa nyingi
Alifafanua kwa kusema kuwa mambo hayo ambayo yanazaliwa na magonjwa ya
kila siku ni pamoja na umaskini ambao umekithiri sana kwennye maisha
ya kila siku, vifo ambavyo havina umuhimu, pamoja na matatizo kama
vile lawama,malalamishi ambayo nayo huchonganisha hata vichwa vya
baadhi ya viongozi.
kila siku ni pamoja na umaskini ambao umekithiri sana kwennye maisha
ya kila siku, vifo ambavyo havina umuhimu, pamoja na matatizo kama
vile lawama,malalamishi ambayo nayo huchonganisha hata vichwa vya
baadhi ya viongozi.
“tuna mikakati ya kuhakikisha kuwa mbali na kuweza kusaidia serikali
lakini pia tunasaidia hata jamii kwani kwa kuachia serikali pekee bado
shida itakuwepo sana kwenye maisha ya watanzania na baada ya kuweza
kutoa elimu ya kupambana na magonjwa sasa tutaangalia na kufanya
tathimini imewasaidia watu kwa jinsi gani”aliongeza Simbani
lakini pia tunasaidia hata jamii kwani kwa kuachia serikali pekee bado
shida itakuwepo sana kwenye maisha ya watanzania na baada ya kuweza
kutoa elimu ya kupambana na magonjwa sasa tutaangalia na kufanya
tathimini imewasaidia watu kwa jinsi gani”aliongeza Simbani
Wakati huo huo alizitaka nazo taasisi mbalimbali za dini kuhakikisha
kuwa zinaweka utararibu wa kuangalia namna ya kusaidia Serikali hasa
kwa kutoa elimu mbalimbali ambazo zitalenga kuwasaidia watanzania
kwani taasisi hizo zina uwezo wa kuwafikia wengi zaidi kuliko taasisi
nyingine zozote
kuwa zinaweka utararibu wa kuangalia namna ya kusaidia Serikali hasa
kwa kutoa elimu mbalimbali ambazo zitalenga kuwasaidia watanzania
kwani taasisi hizo zina uwezo wa kuwafikia wengi zaidi kuliko taasisi
nyingine zozote
Alisema kuwa kwa kufanya hivyo kutaweza kuraisisha malengo na sera
mbalimbali ambazo zimewekwa na serikali hasa zile za kupambana na
umaskini kwani kwa sasa baadhi ya sera wakati mwingine zinashindwa
kutekelezwa kutokana na kuwa hakunaa ushirikiano
mbalimbali ambazo zimewekwa na serikali hasa zile za kupambana na
umaskini kwani kwa sasa baadhi ya sera wakati mwingine zinashindwa
kutekelezwa kutokana na kuwa hakunaa ushirikiano
0 comments:
Post a Comment