Wednesday, 22 January 2014

HAYA NDIO MATUKIO KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR.

Mwakilishi wa jimbo la Kitope Makame Mshimba Mbarouk akichangia Mswada wa Sheria ya kuanzisha sheria za Hakimiliki za wagunduzi wa aina Mpya za Mbegu za Mimea katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar. DSC_0628 
Mwakilishi wa Jimbo la Mji Mkongwe Ismail Jussa Ladhu akichangia Mswada wa Sheria ya kuanzisha sheria za Hakimiliki za wagunduzi wa aina Mpya za Mbegu za Mimea katika Baraza la Wawakilishi Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar. DSC_0634 
Mwandishi wa Habari wa Gaazeti la Zanzibar Leo Mwantanga Ame akifanya  kazi yake ya Uandishi kwa Utulivu katika Ukumbi wa Juu Baraza la Wawakilishi lililoanza Leo huko Mbweni nje ya Mji wa Zanzibar.
 PICHA NA YUSSUF SIMAI-MAELEZO ZANZIBAR.

Related Posts:

0 comments: