Thursday, 23 January 2014

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AZUNGUMZIA MAFURIKO YALIYOTOKEA MOROGORO

 
1(4) 
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mizengo Pinda akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) leo ofisini kwake jijijni Dar es Salaam mara baada ya kurudi kutoka Mkoa wa Morogoro alipokwenda kutembelea wananchi waliokumbwa na mafuriko yaliyotokea jana. Mafuriko yalisababisha wanachi kukosa huduma za jamii ikiwemo usafiri wabarabara kutoka Dodoma kuja Morogoro na Morogoro kwenda Dodoma.
Wilaya za Gairo na Kilosa zimeathirika  na mafuriko yaliyotokea mkoani Morogoro ambapo usafiri unatarajiwa kurudi katika hali yake ya kawaida takribani baada ya siku tatu hadi nne.

0 comments: