Tuesday, 7 January 2014

CHADEMA WAENDELEA KUVUTANA MAHAKAMA KUU

a
 Wafuasi waliojita,mbulisha kuwa wa Mbunge wa Kigoma, Zitto Kabwe  wakihamasika nje ya Mahakama Kuu jijini Dar es Salaam, wakati ilipokuwa ikisubiriwa hatma ya kesi aliyofungua mbunge huyo dhidhi ya chama chake ,Kesi hiyo inaendelea leo baada ya kuahirishwa jana
Picha zote na TheNkoromo Blog
Wafuasi wanaodaiwa kuunga mono uongozi wa Chadema nao wakiwa katika kundi lao mbele ya jendo la mahakama kuu wakati ikisubiriwa hatma hiyo.
 Kinana anayedaiwa kuwa mfuasi wa Chadema akiwa amedakwa na polisi akidaiwa ni mamluki waliokodiwa kufanya fujo mahakamani hapo
 Wakili wa Zitto akisindikizwa na wafuasi wa mbunge huyo baada ya kesi kuahirishwa jana
 Wafuasi wa Chadema wanaounga mkono uongozi (kushoto) na wale wanaomuunga mkono Zitto (kulia) wakitoka mahakamani huku kila kundi likiandamana kivyake kubeza kundi lenzake
 Mwanzoni watumishi wa mahakama Kuu wakiweka vizuizi kuimarisha usalama mbele ya mahakama kuu
 Polisi wenye mbwa mkali hawakucheza mbali
 Mmoja wa mashabiki wanaounga mkono uongozi wa Chadema (kushoto) akisakamwa baada ya kwenda upande wa wale wanaomuunga mkono Zitto
 Wafuasi wa Chadema wanaounga mkono uongozi wakibishana jambo na polisi nje ya mahakama, huku mfusi wa CUF (kulia kabisa) akiwaunga mkono wafuasi hao wa Chadema bila shaka kama mwalikwa.
 Huyu mwenzake naye pia wa Chadema  akiwa na bango na kumfagilia Zitto
Wafuasi wa Chadsema wanaouunga mkono Zitto wakiwa wameunganisha mabango yao kuonyesha jina la Zitto mbele  ya mahakama kuu.

Related Posts:

0 comments: