Aliyekuwa waziri Mkuu wa Israel, Ariel Sharon amefariki akiwa na umri wa miaka 85.
Alikuwa katika hali ya umahututi kwa miaka nane tangu mwaka 2006. Chanzo:BBC Taarifa kamili inafuata ivi punde endelea kutembelea mbeyagreennewsblog
Saturday, 11 January 2014
HOME »
» ALIYEKUWA WAZIRI MKUU WA ISRAEL MR ARIEL SHARONI AFARIKI DUNIA
0 comments:
Post a Comment