Wednesday, 15 January 2014

ANGALI VIDEO YA MWANAMKE ALIYEKATWA MKONO NA MUMEWE HUKO GEITA

 
Mke akatwa mkono na mumewe
Ikiwa ni muendelezo wa kukufichulia matukio ya Ukatili wa Kijinsia dhidi ya wanawake, kipindi cha Wanawake Live kinachorushwa na Televisheni ya EATV kila Jumanne saa tatu kamili usiku, wiki hii kimekufichulia kisa cha mwanamke aliyekatwa mkono na mume wake huko Geita.
Itazame video hii hapo chini:

Related Posts:

0 comments: