Chama Cha Mapinduzi (CCM) jimbo la Singida mjini jana kimefanya matembezi ya mshikamano ya kilometa kumi kuanzsia ofisi ya CCM mkoa wa Singida hadi Mandewa nje kidogo ya mji wa Singida.
DSC06223
Baadhi ya wanachama wa CCM manispaa ya Singida,wakishiriki matembezi ya mshikamano ya kilomita kumi ikiwa ni sehemu ya sherehe ya maadhimisho ya CCM kutimiza miaka 37 toka kianzishwe.(Picha na Nathaniel Limu).
DSC06243
DSC06249
Katibu wa CCM mkoa wa Singida,Naomi Kampambala ( mstari wa pili wa kwanza kulia mwenye kofia kapelo) akijumuika na wanaCCM wa manispaa ya Singida,kwenye matembezi ya mshikamano yaliyofanyika jana ya kilomita kumi.
DSC06252
Mstahiki meya wa halmashauri ya manispaa ya Singida na sheikh wa mkoa wa Singida,Sheikh Salum Mahami,(wa pili kushoto) akishiriki matembezi ya kilomita kumi ya mshikamano ya CCM yaliyofanyika jana 02/02/2014. Wa kwanza kushoto ni katibu wa wazazi CCM mkoa wa Singida,Bwiga na watatu kushoto ni mjumbe wa halmashauri kuu (NEC) CCM taifa manispaa ya Singida.Hassan Mazala.