Mafundi wakiendelea na ujenzi wa choo cha muda nyumbani kwa Dr Mgimwa leo |
Mama mzazi wa Dr Mgimwa Consolata Semgovano mwenye gauni la kijani akiwa na waombolezaji wengine kijijini kwa Mgimw |
WAZIRI MKUU PINDA ATUA IRINGA ,KUELEKEA KIJIJINI KWA WAZIRI DR MGIMWA SASA
Waziri mkuu Mizengo Pinda akisalimkiana na mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu leo katika uwanja wa ndege Nduli Iringa |
Pinda akisalimiana na viongozi leo sasa msafara wake unaelekea kijijini Kwa Mgimwa Magunga |
0 comments:
Post a Comment