Neema Herbalist ni wauzaji na wasambazaji wa dawa mbalimbali zitokanazo na mimea.
Tunatangaza nafasi za kazi ya UWAKALA WA USAMBAZAJI WA DAWA ZETU kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa zifuatazo :
i. Elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
ii. Awe mkaazi wa Dar es Salaam.
iii. Awe maridadi, mwaminifu na anayejituma.
MAJUKUMU YA KAZI : Kuchukua bidhaa kutoka kwetu na kuzisambaza kwa wakala wetu mkuu na kwenye maduka ya madawa yaliyopo katika kata mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31 JANUARI 2014.
Kazi kuanza rasmi tarehe 03 FEBRUARI 2014.
Tuma maombi yako kupitia barua pepe yetu ambayo ni : neemaherbalist@gmail.com
Kwa maelezo zaidi, tembelea : www.neemaherbalist.blogspot.com
Tunatangaza nafasi za kazi ya UWAKALA WA USAMBAZAJI WA DAWA ZETU kwa vijana wa Kitanzania wenye sifa zifuatazo :
i. Elimu ya kuanzia kidato cha nne na kuendelea.
ii. Awe mkaazi wa Dar es Salaam.
iii. Awe maridadi, mwaminifu na anayejituma.
MAJUKUMU YA KAZI : Kuchukua bidhaa kutoka kwetu na kuzisambaza kwa wakala wetu mkuu na kwenye maduka ya madawa yaliyopo katika kata mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.
Mwisho wa kupokea maombi ni tarehe 31 JANUARI 2014.
Kazi kuanza rasmi tarehe 03 FEBRUARI 2014.
Tuma maombi yako kupitia barua pepe yetu ambayo ni : neemaherbalist@gmail.com
Kwa maelezo zaidi, tembelea : www.neemaherbalist.blogspot.com
0 comments:
Post a Comment