Monday, 3 March 2014

UTEKAJI WAMAGARI KATIKA KIJIJI CHA KISAKI MKOA NI SINGIDA WASHIKA KASI

 
DSC06889
Kamanda wa polisi mkoa wa Singida, SACP.Geofrey Kamwela, akitoa maelezo kwa waandishi wa habari juu ya tukio la utekaji wa magari katika eneo la Kisaki manispaa ya Singida. Naibu Waziri wa Afrika Mashariki Abdula J. Abdula ametoa wito kwa madereva kuacha mara moja vitendo vya kuziba barabara kwa madai ya kudai haki zao kuwa vinachangia kusababisha madhara mengi.
DSC06854
Baadhi ya magari yaliyokwama kupita baada ya kufanyika kwa utekaji wa magari katika eneo la kijiji cha Kisaki manispaa ya Singida,(Piacha na Nathaniel Limu).
DSC06857
DSC06865

Related Posts:

0 comments: