Mgombea
wa Nafasi ya Makamu Mwenyekiti wa Bunge Maalum la katiba Bi. Amina
Abdallah akimpongeza Bi. Samia Suluhu Hassan baada ya Kutangazwa kuwa
Makamu mweyekiti wa Bunge Maalum la Katiba.
Mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba Samia Suluhu Hassan akitoa shukrani zake kwa Wajumbe wa Bunge Maalum la Katiba baada ya Kuteuliwa kuwa Makamu Mwenyekiti wa Bunge hilo.
0 comments:
Post a Comment