Wabunge
wa Bunge Maalum la Katiba wakitoka Bungeni Mjini Dodoma Machi 6, 2014
baada ya Bunge hilo kusitihwa kwa muda kufuatia Sitofahamu iliyotokea.
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Mjumbe
wa Bunge Maalum la katiba Halima Mdee akitafakari baada ya wenzake
kuondoka bungeni wakati Bunge hilo lilipositishwa kwa muda mjini Dodoma
Machi 6, 2014 kufuatia sintofahamu iliyokea. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu).
Waziri
Mkuu, Mizengo Pinda na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif
Idd (wapili kushoto) wakijadili jambo na wajumbe wa Bunge Maalum la
Katiba baada ya Bunge hilo kusitishwa kwa muda Machi 6,2014 kufuatia
sintofahamu ilitokea. Kutoka kushoto ni Katibu wa Bunge Thomas
Kashilillah, Waziri wa Nchi,Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais wa
Zanzibar, Mohammed Abood, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Stephen Wasira,
Waziri wa Katiba na Sheria wa Zanzibar, Abubakar Khamis Bakari na
Mwanasheria Mkuu wa Tanzania, Frederick Werema.
(Picha na Ofisi ya
Waziri Mkuu).
Mwenyekiti wa Muda wa Bunge maalum La
Katiba Mh Pandu Kificho Ameahirisha Semina ya kujadili Kanuni za Bunge
Maalum la Katika Kutokana na Vuruguru,
Kutokana na Hali ya Kutokuelewana
Kati ya Mbunge wa Jimbo la Simanjiro Mh Ole Sendeka Kutoleana maneno na
Mbunge Mwenzake wakati Mbunge Huyo alipohoji kuhusu Kanuni hizo. Hivyo
hali hio ilipelekea kuairishwa kwa bunge hilo maalum Dodoma.
0 comments:
Post a Comment