Monday, 3 February 2014

UBORA WA MAJENGO HUCHOCHOEA HAMASA YA UFAULU

IMG-20140203-WA0001_b3194.jpg
Moja kati ya majengo bora ya  Shule ya awali na  Msingi  Mwasama iliyopo Bagamoyo  Mkoani Pwani
IMG-20131226-WA0001_654c4.jpg
Mama Mwajuma Masaiganah, mmiliki wa shule ya msingi MWASAMA iliyopo Bagamoyo Mkoani Pwani. Mama Mwajuma ni miongoni mwa wanawake shujaa na wenye uthubutu katika harakati za kupigania uboreshwaji na ukuaji wa elimu nchini. Shule yake hutoa kiwango bora cha elimu kila mwaka kwa nafasi za juu kati ya namba moja na mbili kimkoa na kitaifa.
IMG-20140203-WA0006_76088.jpg
Wanafunzi wakiwa darasani, eneo la Ukuni Bagamoyo
IMG-20140203-WA0003_b8cbc.jpg
Mmoja kati ya walimu wa shule hiyo Bwana Isdory, akitathmini jambo baada ya kufundisha

Related Posts:

0 comments: