Wednesday, 5 February 2014

SABUNI ZA KURUDISHA UBIKIRA KWA WANAWAKE KUSABABISHA KANZA YA SHINGO YA KIZAZI

 
Sabuni za kurudisha ubikira balaa' WANAWAKE wameshauriwa kuacha kutumia sabuni za kunawia sehemu za siri ambazo hudaiwa kurejesha ubikira kwani zina madhara makubwa ikiwemo kusababisha kansa ya shingo ya kizazi. Mkaguzi wa Dawa na Mfamasia wa Manispaa ya Dodoma Daria Mwanuka alisema hayo mwishoni mwa wiki katika mahojiano na mwandishi wa habari hizi wakati wa uteketezaji dawa, vipodozi na vyakula visivyofaa kwa matumizi ya binadamu.... Soma zaidi http://tinyurl.com/mmuydkx

Related Posts:

0 comments: