Wednesday, 5 February 2014

NAIBU WAZIRI WA FEDHA ADAM MALIMA AHITISHA ZIARA YA KIKAZI KANDA YA ZIWA

 
1 
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima akiongea na wafanyabiashara wa jijini Mwanza katika ukumbi wa Benki Kuu alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza. Wa kwanza ushoto ni Meneja wa Mashine za Kodi za Kielektroniki (EFDs) nchini Massoud Issangu na wa katikati ni Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato nchini Patrick Kasera. 2Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato nchini Patrick Kasera akiongea na akiongea na wafanyabiashara wa jijini Mwanza katika ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mwanza wakati wa ziara ya Naibu Waziri wa Fedha  kutembelea mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza. Wa kwanza ushoto ni Meneja wa Mashine za Kodi za Kielektroniki (EFDs) nchini Massoud Issangu. 4 
Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima (kulia) akiwa kwenye mkutano na wafanyabiashara wa jijini Mwanza katika ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mwanza.alipokuwa kwenye ziara ya kutembelea mikoa ya Kagera, Mara na Mwanza. Kushoto ni . Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato nchini Patrick Kasera. 5 
Baadhi ya wajumbe wa mkutanao wa wafanyabiashara wa Mwanza wakiwa kwenye mkutano wao na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima jijini Mwanza kuhusu masuala ya kibiashara ndani ya mkoa wao  6 
Baadhi ya wajumbe wa mkutanao wa wafanyabiashara wa Mwanza wakiwa kwenye mkutano wao na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima jijini Mwanza kuhusu masuala ya kibiashara ndani ya mkoa wao  7 
Baadhi ya wajumbe wa mkutanao wa wafanyabiashara wa Mwanza wakiwa kwenye mkutano wao na Naibu Waziri wa Fedha Adam Malima jijini Mwanza kuhusu masuala ya kibiashara ndani ya mkoa wao  9Mmoja wa wafanyabiashara wa jijini Mwanza Leopord Kararugira akiuliza swali juu ya matumizi bora ya kibiashara ya mashine za EFD wakati wa mkutano wafanyabiashara hao wa jijini Mwanza na Naibu Waziri wa Fedha katika ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mwanza. 10Mfanyabiashara wa jijini Mwanza Mgesi Marwa akiuliza swali juu ya hofu yao ya bei za mashine za EFD wakati wa mkutano wafanyabiashara hao wa jijini Mwanza na Naibu Waziri wa Fedha katika ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mwanza ambapo kwa mujibu wa Kamishna wa Kodi za Ndani wa Mamlaka ya Mapato nchini Patrick Kasera bei ya chini ya mashine hizo ni sh.600, 000/= na bei ya juu ni sh.690,0000/= 11 
Naibu Waziri Adam Malima akiwa na baadhi ya viongozi wa TRA na Hazina ndogo mara baada ya mkutano na wafanyabiashara jijini  nje ya  ukumbi wa Benki Kuu tawi la Mwanza.
(Picha zote na Eleuteri Mangi- MAELEZO, Mwanza)

Related Posts:

0 comments: