Kijana
Bakari Hassan Katumbaku ambaye alipata msaada wa matibabu kutoka kwa
Mheshimiwa Rais Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ambapo mpaka sasa anaendelea
kupata msaada wa kusoma (kulia) akimshukuru Mheshimiwa Rais mbele ya
waandishi wa Habari (Hawapo Pichani) kwa msaada aliopewa,kijana huyo kwa
sasa anasoma katika Chuo cha “Tanzania School of Journalism” akichukua
fani ya Uhandishi wa Habari ngazi ya Cheti.Bakari alipata ajali ya Moto,
kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari Maelezo Bw. Vincent
Tiganya
Wednesday, 5 February 2014
HOME »
» KIJANA HASSAN BAKARI KATUMBAKU AKIMSHUKURU MHESHIMIWA RAIS JAKAYA KIKWETE BAADA YA KUMSAIDI MATIBABU
0 comments:
Post a Comment