Godfrey
Mgimwa, mmoja wa watoto wa Marehemu
Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa
Dkt William Mgimwa, akiongea kwa niaba ya familia wakati wa mazishi kijijini Magunga jimbo la Kalenga mkoani Iringa
Matokeo ya
kura za maoni ndani ya CCM yametangazwa
usiku wa kuamkia leo mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa jimbo
hilo, Godfrey Mgimwa akishinda kwa kishindo katika nafasi
hiyo huku Jackson Kiswaga akifuatia katika matokeo hayo.
Mtoto wa Mgimwa amepata kushinda kwa
kura 342 huku Kiswaga akipata kura 170 na mkuu wa wilya ya Pangani Hafsa
Mtasiwa akiambulia kura 42 .usiku wa kuamkia leo mtoto wa aliyekuwa Mbunge wa jimbo
hilo, Godfrey Mgimwa akishinda kwa kishindo katika nafasi
hiyo huku Jackson Kiswaga akifuatia katika matokeo hayo.
Matokeo hayo yametangazwa katika ukumbi wa shule ya
sekondari Mwembetogwa Manispaa ya Iringa huku mgombea
Peter Mtisi akipata kura 33 ,Msafiri Pangagira kura 8,Bryson Kibasa kura 7,Edward Mtakimwa kura 3 na Thomas Mwiluka akiambulia kura 2. Chanzo: Francis Godwin
0 comments:
Post a Comment