Saturday, 15 February 2014

HUYU NDIE GRACE TENDEGA ALIYETEULIWA NA CHADEMA KUWANIA UBUNGE JIMBO LA KALENGA

 

Grace Tendega (kushoto) akisindikizwa ukumbini  siku  ya kura za maoni  na mpambe  wake wakati  wa  kura  za maoni  Chadema ambapo  wana Chama  13  walijitokeza na mwanamama  huyo kuchukua nafasi ya  pili kwa  kura za kishindo ,wa kwanza  alikuwa  Sinkala Mwenda anayedaiwa kufoji kadi  za  wanachama na kupoteza  sifa 

Related Posts:

0 comments: