>>KUCHEZA NA NAPOLI AU AS ROMA!
Katika Mechi ya Kwanza ya Nusu Fainali, Udinese ilishinda Bao 2-1.
Kwenye Fainali, itakayochezwa Mei 3,
Fiorentina itamvaa Mshindi kati ya AS Roma au Napoli ambao wanarudiana
Leo huku Roma wakiwa mbele kwa Bao 3-2 walizoshinda kwenye Mechi ya
Kwanza.
Bao la Kwanza la Fiorentina lilifungwa
katika Dakika ya 14 kwa shuti kali la Manuel Pasqual lililopiga Posti ya
juu na kutinga na la Pili lifungwa katika Dakika ya 61 na Cuadrado pia
kwa kigongo kikali.
VIKOSI:
Fiorentina: Neto;
Diakite, Rodriguez, Savic (Compper 60); Pasqual, Pizarro, Aquilani, Mati
Fernandez, Cuadrado; Joaquin (Vargas 89), Matri (Matos 56)
Udinese: Scuffet;
Heurtaux, Danilo, Domizzi; Widmer, Pinzi (Muriel 56), Allan, Gabriel
Silva (Yebda 91); Fernandes, Pereyra; Di Natale (Nico Lopez 80)
Refa: Massa
COPPA ITALIA
RATIBA:
[Saa za Bongo]
Jumatano Februari 12
22:45 SSC Napoli v AS Roma [Mechi ya Kwanza 2-3]
FAINALI
Mei 3
Fiorentina v Napoli/ AS Roma [Stadio Olimpico]
0 comments:
Post a Comment