Thursday, 13 February 2014

ANAEITUHUMIWA KUA NI MCHAWI AKUTWA JUU YA PAA LA NYUMBA MKOANI MBEYA

Hii ni mfano wa picha  ya mchawi picha na maktaba

Raia mmoja wa wa kijiji cha shilanga willaya ya mbeya vijijini ajulikanayea kwa jina la Mwawa Mwasile alikamatwa akiwa juu ya paa la nyumba ya mganga wa jadi wa kjiji hicho akiwa uchi wa mnyama jumatano wiki hii ,
Mwenyekiti  wa kijiji hicho ndugu Von  Ronald ameeleza  kuwa Mwawa aalikutwa juu ya paaa la mganga wa jadi bwana mahenge  akiwa bila nguo yeyote ,kwa maelezo ya mganga huyo,  asema kuwa raia huyu anaituhumiwa kua ni mchawi ambayea aliaenda kumjaribu  mganga wa jadi  na kwabahati mbaya akakutana na nguvu ya mganga  ndipo  aliposhindwa na wa kamkuta juu ya paa la nyumba hiyo ya mgangahuyu.
Kwa  bujibu wa  mwenyekiti wa kijiji hichi Bwana Ronald  imesemeaka mtu huyo ni kiongozi wa  kwaya ya kanisa la mitume lilopo kijiji hapo ,baada ya kukamtwa kwa mtu huyo wananchi  wenye hasira kali waliandamana  mpaka kwa mwenyekiti huyo  ili aweze kuchukua hatua zaidi, kwa mtu huyo  ingawa baadhi ya wananchi  wenye hasira kali walianza kuchukua hatua mikononi  na kumshambulia kwa mawe,vimbo na mapanga.
Ndipo uongozi wa jiji  ulichkua hatua za kumuokoa ,mpaka sasa mtu humiwa huyo  amelazwa katika hospiatali ya hicho cha shilanga  kwa matibabu zaidi na hali sio nzuri kutokana na kipigo alicho kipata kutoka kwa wananchi
Bwana Ronald amewasisitiza  wananchi kukoma  tabia ya uchawi  kwa hasa wale wanao abudu katika madhehebu yao,  wabudu katika roho ya kweli  pia amewaonya tabia ya wananchi kujichukulia mamlaka yamkononi ya kwa piga watu kama ha wa  bali wawafikishe kwenye vyombo husika

Habari  hii imeandikwa na 
ADVEAR ALSON
Mbeya vijijini

Related Posts:

0 comments: