Thursday, 13 February 2014

MTOTO MCHANGA AKUTWA KWENYE MFUKO WA RAMBO



 Picha  hii ya  ndivyo zinavyo onekana baada ya mtoto huyo kufumuliwa kutoka kwenye mfuko    , Hiyo nguo ni msamalia mwema ametoa

Mama mmoja asijulikana jina lake wala makazi yake alimtupa motto mchanga jinsia ya kiume anaekadiliwa  kuwa na  umria wa mieazi tisa aliyeye kutwa ametupwa kwenye mfuko wa Rambo katika mji wa mbalizi mbeya vijiji siku ya tarehe 11 februry 2014 mwaka huu
Akithibitsha kutokea kwa tukio hilo mwenye kiti wa kitongoji cha mbalizi  ndugu   EDWARD JOSHUA amealeza kuwa  kiumbe hicho kilikutwa na watoto wadogo ambao alikua wakinga’nganiana wakidai ni mdoli, kwa kila mmoja alidai ni mdoli wake ,baadayea alitokea mama mmoja na kuawakuta watoto hao  wakigombambana  ndipo alipoa amua jukukumu la kufikisha taarifa kwa uongozi wa mtaa  huo
Bwana EDWARD ameongeza kuwa juhudiza kumtafuta  mama aliye fanya kitendo hicho cha kikatili zianendelea,ingawa hawajapata taarifa ya mahali anapoishi na wala jina lake,mpaka sasa kiumbe hicho kimezikwa katika maeneo ya poli yaliyopo karibu na kitongoji hicho na msoko mkali  wakumtafuta mtu huyo unaendelea kwa kushilikana na jeshi la polisi mkoa
Pia Bwana   EDWARD ameomba wananchi wake wafanye linalo wezekana kumpata  mtu humiwa huyu ili sheria ifuta mkondo wake kwa  kufuatatiwa  kitendo cha kikatili  kilichofanywa na mama huyo na  kuwaomba  wakinamama wasiwe na roho za kitaili

Habari  hii imeandikwa na 
ADVEAR ALSON
Mbeya vijijini

Related Posts:

0 comments: