Thursday, 16 January 2014

UBOVU HUU WA MIUNDO MBINU MANISPAA YA IRINGA UTAZAMWE KWA JICHO LA HURUMA




Gari  likipita kwa shida  katika  eneo la Mbimbizi barabara ya kuelekea  shule ya  sekondari Mtwivila baada ya mjenzi wa mifereji katika eneo hilo kushindwa kumaliza kazi hiyo na kuhamia eneo jingine
Huu  ndio mfereji unaojengwa bila kukamilika na ipo baadhi ya mifereji iliyosimama na kwa  sasa  kuwa ni hatari zaidi kwa usalama wa nguzo za umeme na nyumba za  wakazi wanaozunguka maeneo hayo

Related Posts:

0 comments: