Friday, 10 January 2014

MAPINDUZI CUP-MIAKA 50: LEO AZAM FC YACHAPWA BAO 2-3 NA KCC NA SIMBA KIBARUA KIZITO NA URA USIKU HUU S


 

KLABU za Tanzania Bara, Azam FC   leo huko Zanzibar iklikua na kibarua kikali kwenye Nusu Fainali zaMapinduzi Cup, Kombe la Kusheherekea Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, kwa kuzivaa Timu toka Uganda  ya kcc lakini leo  AZAM FC wamechapwa  bao 2-3 hivyo imeondolewa katimashindano hayo bali ian subili kucheza kutafuta mshindi wa tatu kumbuka kua
Mabigwa Watetezi wa Mapinduzi Cup, Azam FC, wao walitinga Nusu Fainali kwa kuichapa Clove Stars, Kombaini ya Pemba, Bao 2-0,  wakati Simba, walioifunga Chuoni 2-0 kwenye Robo Fainali,  Na simba wataikwaana  URA  Uwanja   wa Amann zanzibar  Saa 2 Usiku. muda huu mechi ya simba imesha anzaa

RATIBA/MATOKEO:
ROBO FAINALI
Jumatano Januari 8
Gombani Stadium, Pemba
KMKM 0 URA 1
Azam FC 2 Clove Stars 0
Amaan Stadium
Tusker 0 KCC 0 [KCC imesonga kwa Penati 4-3]
Simba 2 Chuoni 0
NUSU FAINALI
Ijumaa Januari 10
 Azam FC 2 v KCC 3
SAA 2 USIKU: URA v Simba

Fainali ni Jumatatu Januari 13 kwenye Uwanja wa Amaan Jijini Zanzibar.>>

YANGA YATUA UTURUKI, CHUJI AOMBA RADHI!!
WAKATI HUO HO, Mabingwa wa Tanzania Bara, Yanga, wakiwa na Msafara wa Watu 33 wakiwemo Wachezaji 27, wametua huko Mji wa Atalya, Uturuki kwa Kambi ya Mazoezi ya Wiki mbili.
Yanga, ambao wamesafiri bila Kiungo wao Athumani Idd ‘Chuji’ ambae inadaiwa amesimamishwa kwa utovu wa Nidhamu na ambao wako chini ya Makocha Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondali, watacheza Mechi 3 za kujipima nguvu.
Habari toka duru za Klabu ya Yanga zinadai kuwa Athumani Idd ‘Chuji’ ameomba msamaha.

Related Posts:

0 comments: