Saturday, 8 February 2014

UPEPO WALETA MAAFA KANISA LA WASABATO LUDEWA



                                 mfano  wa kanisa wa Wasabato  nchini
 
Na Vasco Mgimba  wa Matukiodaima.com Ludewa
 
Upepo mkali uliovuma mfululizo tangu jana asubuhi umesababisha maafa makubwa katika kijiji cha ludewa , maafa hayo yamesababisha kubomoakanisa la Waadventista ( WASABATO LUDEWA )Upande wa usoni mwa kanisa hilo huku paa lake pamoja nabati zake ilikuwa halijaezuliwa jambo ambalolimewashangaza wakristo hao pamoja na wanchi wa ujimlajkwani halijawahi kutokea tukio kama hilo kwani wamezoea kuona upepo mkali ukivuma huezua paa lakini tukio la leo nilakushangaza ambapo upepo huo umeangusha ukuta. Hata hivyomaafa hayo yametokea ikiwa siku yajumamosi ambayo ilikuwa ni siku ya  Sabato jambo ambalo liliwalazimu kuabudu kwa  shida huku kanisa likiwa wazi upande uliobomoka 
 
 .pia upepo huo umeathiri mazao yawakulima wakijiji hiki cha ludewa mahindi pamoja na migomba yameangusha chini yote jambo ambalo litawaletea njaa msimu wa mavuno 2014-2015,maafa mengine  MENGINE yaliyosababishwa na upepo huo nipamoja nakung’owa maandishi ya TVjambo ambalo liliwasababishia hasara wahanga licha ya hasara hiyo pia linawakosti kukosa habari mbalimbali zinazo dili kila siku na baathi ya miti imeng’olewa na upepo  huo hata hivyo nimeongea na viongozi wa  kanisa  hilo la WAsabato Ludewa wamesema wamepata pigo  kubwa kwa kuharibiwa kwa kanisa hilo 
 
Upepo  huo  umewaweka katika wakati mugumu hasa  ukizingatia ni mwaka jana waumini  wa kanisa  hilo  wapo  katika ujenzi wa kanisa jingine ambalo  ni kubwa  zaidi ya  hilo huku  ujenzi  wake  ukiwa umeishia hatua ya msingi
 
Hivyo  kwa  wale  wote watakaogushwa kusaidia  maafa  hayo na ujenzi wa kanisa  kubwa unaoendelea  waweza  kuwasiliana na uongozi wa kanisa kwa namba hizi  0763869185 au 0765915041 na  Mungu  atakuzidishia  kwa mchango  wako 

Related Posts:

0 comments: