Ni mechi ambayo wametoka bila kufungana lakini roho zilikua juujuu kutokana na chupuchupu nyingi zilizotokea kati ya timu zote mbili.
Ni game ambayo Full Time ni Fulham 2 – 3 Liverpool ambapo goli la
ushindi la Liverpool limekuja mwishoni kabisa,
>>MECHI YA MAN CITY v SUNDERLAND YAAHIRISHWA!!
>>EVERTON V PALACE HAIKUCHEZWA!!
>>LIVERPOOL, SPURS ZASHINDA UGENINI!
MATOKEO:
Jumatano Februari 12
Arsenal 0 Man United 0
Everton v Crystal Palace [IMEAHIRISHWA]
Man City v Sunderland [IMEAHIRISHWA]
Newcastle 0 Tottenham 4
Stoke 1 Swansea 1
Fulham 2 Liverpool 3
WAKATI
ile Mechi iliyokuwa ikingojewa kwa hamu huko Emirates ikimalizika 0-0
kati ya Arsenal na Manchester United, Mechi za Man City v Sunderland na
Everton v Crystal Palace ilibidi ziahirishwe kutokana na hali ya hewa
mbaya iliyoambatana na upepo mkali.
Lakini Tottenham, wakicheza Ugenini huko
Saint James Park, waliinyuka Newcastle Bao 4-0 kwa Bao mbili za
Emmanuel Adebayor, Paulinho na Chadli.
Ushindi huo umezidi kuwaweka Tottenham
kwenye Nafasi ya 5 wakiwa Pointi 3 nyuma ya Liverpool ambao nao
walishinda Ugenini huko Craven Cottage kwa kuichapa Timu ya mkiani
Fulham Bao 3-2.
Kwenye Mechi hiyo, Fuham walitangulia
kufunga baada ya Beki wa Liverpool, Kolo Toure, kujifunga mwenyewe na
Daniel Sturridge kusawazisha lakini Fulham walikwenda mbele 2-1 kwa Bao
la Richardson na Liverpool kusawazisha kwa Bao la Coutinho.
Huku Matokeo yakiwa 2-2, Refa Phil Dowd
aliwapa Liverpool Penati ya Dakika ya 90 baada kuamua Sascha Riether
alimchezea Rafu Sturridge na Steven Gerrard kufunga Penati hiyo.
Huko Emirates, Arsenal na Man United
zilitoka Sare ya 0-0 Matokeo ambayo yameifanya Arsenal ishindwe kuchukua
Nafasi ya Kwanza na kubaki Nafasi ya Pili ikiwa Pointi 1 nyuma ya
Chelsea.
Wakitoka kwenye kipondo cha 5-1
walichopewa huko Anfield Jumamosi iliyopita, Arsenal walishindwa kujipa
furaha kwenye Mechi iliyokuwa na nafasi chache za kufunga Mabao.
Hii ni Sare ya pili mfululizo kwa Man
United baada Jumapili iliyopita kutoka Sare 2-2 na Fulham Uwanjani Old
Trafford na wameendelea kukamata Nafasi ya 7 kwenye Ligi.
VIKOSI:
Arsenal: Szczesny, Sagna, Mertesacker, Koscielny, Gibbs; Arteta, Wilshere; Rosicky, Ozil, Cazorla; Giroud
Akiba: Fabianski, Jenkinson, Monreal, Oxlade-Chamberlain, Podolski, Sanogo, Bendtner.
Manchester United: De Gea, Rafael, Smalling, Vidic, Evra; Valencia, Cleverley, Carrick, Mata; Rooney, van Persie
Akiba: Lindegaard, Buttner, Ferdinand, Fellaini, Young, Hernandez, Januzaj.
Manchester City v Sunderland postponed for safety reasons
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
GD |
PTS |
1 |
Chelsea |
26 |
17 |
6 |
3 |
48 |
21 |
27 |
57 |
2 |
Arsenal |
26 |
17 |
5 |
4 |
48 |
26 |
22 |
56 |
3 |
Man City |
25 |
17 |
3 |
5 |
68 |
27 |
41 |
54 |
4 |
Liverpool |
26 |
16 |
5 |
5 |
66 |
32 |
34 |
53 |
5 |
Tottenham |
26 |
15 |
5 |
6 |
36 |
32 |
4 |
50 |
6 |
Everton |
25 |
12 |
9 |
4 |
37 |
26 |
11 |
45 |
7 |
Man United |
26 |
12 |
6 |
8 |
41 |
31 |
10 |
42 |
8 |
Southampton |
25 |
10 |
9 |
7 |
37 |
29 |
8 |
39 |
9 |
Newcastle |
26 |
11 |
4 |
11 |
32 |
38 |
-6 |
37 |
10 |
Swansea City |
26 |
7 |
7 |
12 |
33 |
36 |
-3 |
28 |
11 |
West Ham |
26 |
7 |
7 |
12 |
28 |
33 |
-5 |
28 |
12 |
Aston Villa |
26 |
7 |
7 |
12 |
27 |
36 |
-9 |
28 |
13 |
Hull |
26 |
7 |
6 |
13 |
25 |
31 |
-6 |
27 |
14 |
Stoke |
26 |
6 |
9 |
11 |
27 |
41 |
-14 |
27 |
15 |
Crystal Palace |
25 |
8 |
2 |
15 |
18 |
34 |
-16 |
26 |
16 |
Norwich |
26 |
6 |
7 |
13 |
19 |
39 |
-20 |
25 |
17 |
West Brom |
26 |
4 |
12 |
10 |
30 |
38 |
-8 |
24 |
18 |
Sunderland |
25 |
6 |
6 |
13 |
25 |
38 |
-13 |
24 |
19 |
Cardiff |
26 |
5 |
7 |
14 |
19 |
44 |
-25 |
22 |
20 |
Fulham |
25 |
6 |
2 |
18 |
26 |
58 |
-32 |
20 |
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumamosi Februari 22
1545 Chelsea v Everton
1800 Arsenal v Sunderland
1800 Cardiff v Hull
1800 Man City v Stoke
1800 West Brom v Fulham
1800 West Ham v Southampton
2030 Crystal Palace v Man United
Jumapili Februari 23
1630 Liverpool v Swansea
1630 Newcastle v Aston Villa
1900 Norwich v Tottenham
0 comments:
Post a Comment