Wednesday, 12 February 2014

COPA deley BARCELONA YAINGIA FAINALI BAADA YA KUTOA SARE YA 1-1 NA REAL SOCIEDAD

 
1392243855835_lc_galleryImage_FC_Barcelona_s_Lionel_Mes 
FC Barcelona imefanikiwa kuingia kwenye fainali ya Copa Del Rey baada ya kutoka sare ya bao moja kwa moja na Real Sociedad katika mchezo wa pili wa nusu fainali ya michuano hiyo.
1908234_10152352390979305_379247899_n 
Kwa matokeo hayo Barca wameingia fainali kwa jumla ya ushindi wa mabao 3-1 kwani mechi iliyopita walishinda 2-0 ambapo mchezo wa fainali ya Copa utakuwatanisha Barcelona dhidi ya mahasimu wao Real Madrid ambao jana waliitoa Atletico Madrid kwa ushindi wa jumla wa magoli 5-0.
Unaambiwa fainali itachezwa April 19.

Related Posts:

0 comments: