>>VINARA CHELSEA WAGENI WA WBA!
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumanne Februari 11
2245 Cardiff v Aston Villa
2245 Hull v Southampton
2245 West Ham v Norwich
2300 West Brom v Chelsea
Jumatano Februari 12
2245 Arsenal v Man United
2245 Everton v Crystal Palace
2245 Man City v Sunderland
2245 Newcastle v Tottenham
2245 Stoke v Swansea
2300 Fulham v Liverpool
Man City, ambao wako Nafasi ya Tatu,
baada ya Wikiendi kubanwa kwa Sare ya 0-0 huko Carrow Road walipocheza
na Norwich City, Jumatano wako Nyumbani Etihad kuivaa Sunderland ambayo
ina kawaida ya kuifunga City kila wakicheza Stadium of Light.
Kwa Arsenal, Mechi hii na Man United ni
muhimu hasa baada ya kuchapwa 5-1 na Liverpool na kutolewa kwenye
uongozi wa Ligi lakini pia ni mwanzo wa Mechi ngumu ambapo zitafuata
Mechi na Tottenham Hotspur, Chelsea, Manchester City na Everton hadi
mwanzoni mwa Machi.
Timu zote, Arsenal na Man United,
zimekiri matokeo ya Mechi za mwisho ni mabaya kwao na kila mmoja
anatafuta afueni kwenye pambano lao.
Mwanzoni mwa Msimu, kwenye Mechi ya
kwanza huko Old Trafford, Man United iliifunga Arsenal Bao 1-0 Mfungaji
akiwa Robin van Persie ambae ni Nahodha wa zamani wa Arsenal.
Wakati Arsenal bado wako kwenye nafasi
nzuri ya kupigania Ubingwa, kwa Man United kuutetea Ubingwa wao sasa ni
kitu kigumu mno na iliyobaki ni kusaka kufuzu 4 Bora ili kucheza UEFA
CHAMPIONZ LIGI Msimu ujao.
Lakini hata hii 4 Bora ni kibarua kigumu
kwani wako Nafasi ya 7, Pointi 15 nyuma ya Vinara Chelsea na 9 nyuma ya
Liverpool ambayo iko Nafasi ya 4.
Akikiri ugumu wa hali yao, Meneja David Moyes amesema ili wafanikiwe sasa inabidi washinde Mechi zao zote.
MSIMAMO:
NA |
TIMU |
P |
W |
D |
L |
F |
A |
PTS |
GD |
1 |
Chelsea FC |
25 |
17 |
5 |
3 |
47 |
20 |
27 |
56 |
2 |
Arsenal FC |
25 |
17 |
4 |
4 |
48 |
26 |
22 |
55 |
3 |
Man City |
25 |
17 |
3 |
5 |
68 |
27 |
41 |
54 |
4 |
Liverpool |
25 |
15 |
5 |
5 |
63 |
30 |
33 |
50 |
5 |
Tottenham |
25 |
14 |
5 |
6 |
32 |
32 |
0 |
47 |
6 |
Everton FC |
25 |
12 |
9 |
4 |
37 |
26 |
11 |
45 |
7 |
Man United |
25 |
12 |
5 |
8 |
41 |
31 |
10 |
41 |
8 |
Newcastle |
25 |
11 |
4 |
10 |
32 |
34 |
-2 |
37 |
9 |
Southampton |
25 |
9 |
9 |
7 |
36 |
29 |
7 |
36 |
10 |
Swansea |
25 |
7 |
6 |
12 |
32 |
35 |
-3 |
27 |
11 |
Hull City |
25 |
7 |
6 |
12 |
25 |
30 |
-5 |
27 |
12 |
Aston Villa |
25 |
7 |
6 |
12 |
27 |
36 |
-9 |
27 |
13 |
Stoke City |
25 |
6 |
8 |
11 |
26 |
40 |
-14 |
26 |
14 |
Crystal Palace |
25 |
8 |
2 |
15 |
18 |
34 |
-16 |
26 |
15 |
West Ham |
25 |
6 |
7 |
12 |
26 |
33 |
-7 |
25 |
16 |
Norwich City |
25 |
6 |
7 |
12 |
19 |
37 |
-18 |
25 |
17 |
Sunderland |
25 |
6 |
6 |
13 |
25 |
38 |
-13 |
24 |
18 |
West Brom |
25 |
4 |
11 |
10 |
29 |
37 |
-8 |
23 |
19 |
Cardiff City |
25 |
5 |
6 |
14 |
19 |
44 |
-25 |
21 |
20 |
Fulham FC |
25 |
6 |
2 |
17 |
24 |
55 |
-31 |
20 |
RATIBA MECHI ZIJAZO:
Jumamosi Februari 22
1545 Chelsea v Everton
1800 Arsenal v Sunderland
1800 Cardiff v Hull
1800 Man City v Stoke
1800 West Brom v Fulham
1800 West Ham v Southampton
2030 Crystal Palace v Man United
Jumapili Februari 23
1630 Liverpool v Swansea
1630 Newcastle v Aston Villa
1900 Norwich v Tottenham
0 comments:
Post a Comment