Yametimia polisi wamemkamata mwenyekiti wa chama cha waandishi wa
habari mkoa wa Iringa (IPC) Frank Leonard (kushoto) ambae ni mwandishi
wa magazeti ya serikali wakimtuhumu kupiga picha mahakamani ,hadi
sasa amewekwa chini ya ulinzi wa polisi huku kesi ya mtuhumiwa wa
mauwaji ya Mwangosi ikiendelea kusomwa
USIKILIZAJI KESI YA MWANGOSI LEO POLISI WAWAIGA STOP WANAABARI KUINGIA MAHAKAMANI
wanahabari Iringa wakiwa nje ya mahakama baada ya polisi kuwazuia kuingia mahakamani kwa muda |
Wakati mahakama kuu kanda ya Iringa inaanza leo kusikiliza keshi ya mtuhumiwa wa mauwaji ya aliyekuwa
mwandishi wa kituo cha Chanel Ten Iringa na mwenyekiti wa chama cha
waandishi wa habari mkoa wa Iringa (IPC) Daudi Mwangosi
Mtuhumiwa
huyo wa mauwaji askari wa FFU Pacificus
Cleophase Simon atafikishwa mahakamani hapo kesho kwa ajili ya kesi
hiyo kuanza kusikilizwa polisi wawapiga stop wanahabari kuingia
mahakamani .
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akipinga uamuzi huo wa polisi kuwazuia wanahabari hao
Mtuhumiwa huyo anatuhumiwa kumuua Mwangosi kwa bomu katika vurugu za wafuasi wa Chadema na polisi katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi mwaka juzi wakati wa shughuli za Chadema kufungua matawi ya chama hicho
Huku kamanda wa polisi mkoa wa Iringa Ramadhan Mungi akipinga uamuzi huo wa polisi kuwazuia wanahabari hao
Mtuhumiwa huyo anatuhumiwa kumuua Mwangosi kwa bomu katika vurugu za wafuasi wa Chadema na polisi katika kijiji cha Nyololo wilaya ya Mufindi mwaka juzi wakati wa shughuli za Chadema kufungua matawi ya chama hicho
0 comments:
Post a Comment