Wednesday, 5 February 2014

HIKI NDICHO KIDUKU KIPYA CHA SUPER MARIO BALOTELLI HATARII

 BALOT
Mario Balotelli mwenye miaka 23 ni mshambuliaji hatari kwenye kikosi cha club ya AC Milan na timu ya taifa ya Italy lakini pia anapenda sana kutengeneza nywele zake kwenye style mbalimbali.
Balotelli ametumia account yake ya twitter kuonyesha style yake mpya ya nywele kwa kuandika “Just finished my hair cut! Now going home to sleep!”
Je, unavyoona huo ujanja aliongezea kwenye kiduku chake ametokelezea au haijamtoa?
BALOTELI

Related Posts:

0 comments: