Winga huyo amejiunga Cardiff kwa mkopo
akitokea Manchester United, lakini baada ya kucheza mechi moja tu
kwenye klabu hiyo, kocha Solskjaer akaibuka na kusema huyo ni Ronaldo
mpya na kwamba atamfaa sana David Moyes kwa siku za baadaye. Chanzo:
mailonline
Tuesday, 4 February 2014
HOME »
» ETI ZAHA NI RONALDO MPYA
0 comments:
Post a Comment