Wednesday, 5 February 2014

CAF CHAMPIONZ LIGI: YANGA KAMBINI, JUMAMOSI NA KOMOROZINE de DOMONI!

YANGA-CAF_CHAMPIONZ_LIGI

>>KMKM WAPO ETHIOPIA KUIKWAA DEDEBIT!
MABINGWA wa Tanzania Bara, Yanga, wameingia Kambini huko Bagamoyo ili kujitayarisha kwa Mechi yao ya Raundi ya Awali ya CAF CHAMPIONZ LIGI ambayo watacheza na Komorozine de Domoni ya Visiwa vya Comoro Jumamosi Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam.
Juzi Yanga waliichapa Mbeya City Bao 1-0 kwenye Mechi ya VPL, Ligi Kuu Vodacom na Jana Wachezaji walipewa Mapumziko na hii Leo kuingia Kambini kwa ajili ya Mechi hiyo ya Jumamosi wakiwa chini ya Makocha wao Hans Van der Pluym, Charles Boniface Mkwasa na Juma Pondamali.
Licha ya wengi kuwachukulia Komorozine de Domoni, ambao wameshatwaa Ubingwa wa Comoro Mwaka 2010 na 2013, kuwa ni ‘vibonde’, Charles Boniface Mkwasa amekataa kuwadharau na kudai Soka la sasa limebadilika na ni bora ujitayarishe vyema.
Mara baada ya Mechi hii ya Jumamosi, Timu hizi zitarudiana huko Comoro kati ya Februari 14 na 16 na Mshindi kuingia Raundi ya Kwanza kuwavaa Mabingwa wa Afrika, Al Ahly ya Misri.
Timu nyingine ya Tanzania ambayo iko kwenye michuano hii ni KMKM ya Zanzibar ambayo Wikiendi hii itacheza huko Ethiopia na Dedebit FC na kurudiana Mjini Zanzibar kati ya Februari 14 na 16 na Mshindi kuingia Raundi ya Kwanza kuwavaa CS Sfaxien ya Tunisia.
CAF CHAMPIONZ LIGI
RATIBA
RAUNDI YA AWALI:
**KUCHEZWA: Mechi ya Kwanza Februari 7-9, Marudiano Februari 14-16
TIMU 1
Mechi Namba
TIMU 2
Young Africans 
1
Komorozine
Berekum Chelsea 
2
Atlabara
Al-Ahly Benghazi 
3
Foullah Edifice
Gor Mahia 
4
US Bitam
Enyimba 
5
Anges de Notsè
FAR Rabat 
6
AS Real Bamako
Les Astres 
7
Akonangui
Asante Kotoko 
8
Barrack Young Controllers
Séwé Sport 
9
Os Balantas
Dedebit 
10
KMKM
Nouadhibou 
11
Horoya
Raja Casablanca 
12
Diamond Stars
Diables Noirs 
13
Flambeau de l’Est
ES Sétif 
14
Steve Biko
Diambars 
15
ASFA Yennenga
USM El Harrach 
16
Stade Malien
AC Léopards 
17
Rayon Sports
Primeiro de Agosto 
18
Lioli
Kaizer Chiefs 
19
Black Africa
Liga Muçulmana 
20
CNaPS Sport
Dynamos 
21
Mochudi Centre Chiefs
AS Vita Club 
22
Kano Pillars
Zamalek 
23
AS Douanes Niamey
Kabuscorp 
24
Côte d'Or
Mbabane Swallows 
25
Nkana
Al-Merrikh 
26
Kampala City Council
RAUNDI YA KWANZA:
*KUCHEZWA: Mechi ya Kwanza Februari 28-Machi 2, Marudiano Machi 7-9
TIMU 1
Mechi Namba
TIMU 2
Mshindi 1
A
Al-Ahly
Mshindi 2
B
Mshindi 3
Mshindi 4
C
Espérance de Tunis
Mshindi 5
D
Mshindi 6
Mshindi 7
E
TP Mazembe
Mshindi 8
F
Mshindi 9
Mshindi 10
G
CS Sfaxien
Mshindi 11
H
Mshindi 12
Mshindi 13
I
Coton Sport
Mshindi 14
J
Mshindi 15
Mshindi 16
K
Al-Hilal
Mshindi 17
L
Mshindi 18
Mshindi 19
M
Mshindi 20
Mshindi 21
N
Mshindi 22
Mshindi 23
O
Mshindi 24
Mshindi 25
P
Mshindi 26
RAUNDI YA PILI:
**KUCHEZWA: Mechi ya Kwanza Machi 21-23, Marudiano Machi 28-30
TIMU 1
Mechi Namba
TIMU 2
Mshindi B

Mshindi A
Mshindi D

Mshindi C
Mshindi F

Mshindi E
Mshindi H

Mshindi G
Mshindi J

Mshindi I
Mshindi L

Mshindi K
Mshindi N

Mshindi M
Mshindi P

Mshindi O

Related Posts:

0 comments: