Tuesday, 11 February 2014

BREAKING NEWS AJALI YATOKEA MUDA HUU TAX NA BODABODA MAENEO YA SIMIKE MBEYA

Picha hii sio ya halisi  nimoja ya ajali ya bodabboda iliyo tokaea picha na makta
kwa taarifa zilizo fikia mtandao huu  hivi bunde ni kua  Ajali kati ya tax na bodaboda  inasemekana chanzo cha ajali hiyo ni ulevi  tax yaingia mtaroni na dreva wa bodaboda avunjika miguu  yote ajali hiyo imetokea leo february 11 muda huu wa  saa 9:12 usiku huu  katika maeneo ya simike barabara kuu mbeya to  Dar  katika mokani mbeya
kawa habari kamili inakuja eendelea kutembelea matando huu wa  mbeya greennewsblosport.com

Related Posts:

0 comments: