Zitto: Sitaki malumbano
*Asema ni muda wa kutumikia wapiga kura, kuibana Serikali
Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe
“Kuanzia sasa naomba kukwambia sitaki malumbano na mtu, natafakari misukosuko ya kisiasa niliyokumbana nayo kwanza,” alisema Zitto.
Alisema hayuko tayari kujibizana na mtu yeyote na kwamba anataendelea kufanya kazi ya kuwawakilisha wananchi wa jimbo lake.
Alisema jukumu jingine lililo mbele yake ni kutunga sheria ndani ya Bunge na kuisimamia Serikali kupitia Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
Chanzo mtanzania
Na Bakari Kimwanga, Dar es Saalm
0 comments:
Post a Comment