Friday, 24 January 2014

RAIS KIKWETE NA NAIBU RAIS WA KENYA MHE WILLIAM RUTO WAWASILI PAMOJA NAIROBII

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akitambulishwa kwa baadhi ya viongozi wa Kenya na Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto walipowasili kwa pamoja katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi leo Ijumaa January 24, 2014.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka sahihi katika kitabu cha wageni huku akishuhudiwa na   Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto na balozi wa Tanzania nchini Kenya Mhe Batilda Buriani  walipowasili kwa pamoja katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi leo January 24, 2014. 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea  na   Naibu Rais wa Kenya Mhe William Ruto walipowasili kwa pamoja katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Naibu Rais wa Kenya Mhe. William Ruto waliwasili kwa pamoja katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi leo Ijumaa Januari 24, 2014.

Viongozi hawa walikutana jijini Amsterdam, Uholanzi,  na kupanda ndege moja kuelekea nyumbani.

Rais Kikwete ambaye alitua Nairobi kwa muda akitokea Davos, Uswisi, alikokuwa kwenye ziara ya kikazi ambayo ameikatisha ili kujiunga na wananchi wa jimbo la Chalinze katika msiba wa Mbunge wa jimbo hilo Marehemu  Said Bwanamdogo. Mazishi yamepangwa kufanyika leo nyumbani kwa marehemu Miono, Bagamoyo.

 

Related Posts:

0 comments: