A man carries a baby who survived what activists say was an airstrike by forces loyal to Syrian President Bashar al-Assad in the Duma neighbourhood of Damascus
. Ni siku moja baada ya Rais Bashir al Assad kuanza kukabidhi silaha za kemikali
.watoto wadogo chini ya miaka 8 ni miongoni kwa waliookolewa kwenye mji wa Damascus
.mashambulizi hayo ya ndege yalifanywa na vikosi vya serikali vya Bashar Assad, wanasema wanaharakati
.silaha za kemikali zilibebwa kwenye meli ya Denmark chini ya ulinzi mkali wa majeshi ya Umoja wa Mataifa
Na Damas Makangale, MOblog kwa Msaada wa Mtandao
Mtoto mchanga wa miezi kadhaa amenasuliwa kutoka katika mabaki ya nyumba baada ya mashambulizi makali ya majeshi ya anga na vikosi vya serikali vya Rais Bashir al Assad juzi na kufunikwa na blanketi kutokana na hali ya hewa kuwa mbaya nchi humo.
Taarifa zinasema idadi kubwa ya watu wasio kuwa na hatia wanahofiwa kupoteza maisha katika mashambulizi hayo ya ndege za kivita kutoka kwa askari watiifu wa Rais Assad mjini Damascus.
article-2535645-1A7B349000000578-653_634x430
Mashahidi waliona mashambulizi hayo wanasema waliona helikopta za kijeshi zikimwaga mabomu makubwa na vumbi kubwa kutimka kati kati ya makazi ya raia wasio na hatia katika wilaya ya Douma nje kidogo wa mji mkuu Damascus.
Wanaume na vijana walikuwa katika harakati za kuwatoa watoto wadogo kwenye vifusi baada ya shambulio kubwa kupata kutokea tangu mgogoro wa Syria uanze miaka mitatu iliyopita.
article-2535645-1A7B19CE00000578-747_634x422
Wanaharakati wanasema shambulio hilo  lilifanywa na vikosi vinavyomuunga mkono Rais Bashar Assad, baada ya baraza la usalama wa Umoja wa Mataifa kusisitiza kwamba Serikali ya Damascus kukabidhi silaha za kemikali na sumu.
Hiyo imekuja baada ya uthibitisho kwamba Serikali ya Damascus inatumia kemikali katika kuwadhibiti waasi wan chi hiyo na katika kitongoji cha Ghouta Agosti 21 mwaka jana vikosi vya serikali kuua mamia ya watu kwa kutumia kemikali na sumu kali.
article-0-1A7A653E00000578-157_634x412