Monday, 6 January 2014

MATUKIO KATIKA PICHA JINSI IRINGA WALIVYO MSINDIKIZA DR MGIMWA


Katibu  mwenezi  wa CCM wilaya ya  Mufindi na mratibu wa kombe la Muungano Mufindi Daud Yasin  kulia akiwa na kamanda wa UVCCM mkoa Salim Abri Asas katika  uwanja  wa ndege Nduli kumsindikiza  rais Kikwete wakati akitoka kumzika aliyekuwa  waziri wa fedha Dr Wiliam Mgimwa
Mpiga  picha  mkuu wa Ikulu Issa Michuzi  kushoto akijiandaa  kuwapiga  picha viongozi wa mkoa wa Iringa na rais Kikwete
Rais  Kikwete  akiteta jambo Hamad Rashid (CUF) aliyefika  uwanja wa Ndege  Nduli
Rais Kikwete akisalimia na aliyekuwa mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa na muasisi wa TANU mzee Tasili Mgoda mara baada ya kukutana uwanja wa ndege Nduli wakitokea  kumzika Dr Mgimwa
Rais  Dr  Jakaya   Kikweteakifurahia  jambo na  kamanda wa UVCCM mkoa  wa Iringa na mwenyekiti wa kamati ya baraza la  usalama barabarani mkoa  wa Iringa  Salim Asas
Mratibu wa kombe la Muungano Mufindi Daud Yassin kulia akisalimiana na  Rais Dr Kikwete
Rafiki mkubwa wa Dr wiliam Mgimwa mkoani Iringa John Kiteve akiagana na Rais Dr Kikwete huku akiwa na huzuni mwingi
Katibu wa itikadi na uenezi CCM mkoa  wa Iringa Dr Yahaya Msigwa kulia akiagana na rais Dr Kikwete uwanja wa Ndege Nduli
"Ebwana  umeshafunga harusi yako  Oh Hongera  ila  nilikuahidi  nitakuchangia sasa nikimaliza hapa  sogea katika ndege  nikupe mchango  wako" ni kauli  ya Rais Dr Kikwete kwa katibu msaidizi wa CCM mkoa wa Iringa Bw  Jimson Mhagama  wakati wakiagana uwanja wa ndege Nduli jana
Waziri  wa uchukuzi Dr Mwakyembe  kulia akiagana na  Rais Dr Kikwete  katika  uwanja wa ndege Nduli baada ya kutoka kumzika Dr Mgimwa
Rais  Kikwete  akiagana na mmoja kati ya mawaziri  wake
"Ni  mara  yangu ya kwanza  kukushika  mkono mheshimiwa Rais "
Mzee Kaundama  akisalimiana na rais Kikwete " Mheshimiwa  rais  Mimi ndie mzee Kaundama  mmiliki wa Kalenga Westen Park " Rais : Oh Hongera  sana kumbe ndio  wewe
rais Kikwete  akiagana na kamati ya ulinzi na usalama  mkoa wa Iringa
Kamanda wa TAKUKURU Iringa akiagana na rais Kikwete
Ras  Iringa Bi Wamoja Ayub  akiagana na rais Kikwete
DC  Kilolo Gerald Guninita  akiagana na rais Dr Kikwete
Mbunge wa  viti maalum mkoa wa Njombe Pindi Chana akiagana na rais Dr Kikwete
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Iringa Jesca Msambatavangu akiagana na Rais Dr Kikwete
Mkuu  wa  mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma akiagana na rais Dr Kikwete
Katibu msaidizi  wa CCM mkoa wa Iringa Jimson Mhagama akipanda katika ndege kwenda kuchukua  mchango  wake wa harusi kwa JK
Mzee  wa kazi Issa Michuzi akifurahia  jambo  baada ya  kuhitimisha kazi yake
Viongozi  mbali mbali wa  mkoa wa Iringa na  wananchi  wakimuaga rais Kikwete
Mkuu  wa  misafara ya Kikwete  Ikulu Kedmund Mnubi kulia akiwa na mwenyekiti wa kamati ya usalama barabarani mkoa  wa Iringa  Salim Asas
Mmiliki wa  ndege 5H-NEG  wa  piki katikati  akiwa na wadau mbali mbali
Mfanyabiashara  Pill Mohamed  kushoto akiwa na mwanae

Related Posts:

0 comments: