Mbunge huyo amefariki leo asubuhi akiwa katika Hospitali hiyo akiendelea kupatiwa matibabu baada ya kulazwa kwa zaidi ya wiki moja sasa .
Kifo cha mbunge huyo kimekuja huku watanzania wakiwa bado katika simanzi za kifo cha aliyekuwa waziri wa fedha na mbunge wa jimbo la Kalenga Iringa kupitia (CCM) Dr Wiliam Mgimwa na kuendelea kuacha pigo ndani ya chama hicho hivyo hadi sasa ni kwa kipindi cha mwaka huu pekee ni wabunge wawili wa CCM wamepoteza maisha na kufanya majimbo mawili kwa mwaka huu kubaki wazi. Badhii ya wanachama wa chama cha mapinduzi wamesema kua wameondokewa na mtu muhimu sana hata hivyo taarifa ya kifo cha mbunge huyo umekipokea kwa majonzi makubwa
.........Habari zaidi tutaendelea kukuletea hapa....................
0 comments:
Post a Comment