Saturday, 11 January 2014

IDADI YA MAGARI KTK ZIARA ZA VIONGOZI WA KITAIFA NI VEMA IKAPUNGUA KUBANA MATUMIZI

Haya ni baadhi  tu  ya  magari yaliyoshiriki ziara ya Rais Dr Jakaya Kikwete  mkoani Njombe  mapema  mwaka  jana ,hivi tujiulize  leo idadi ya viongozi  waliokuwemo ktk magari hayo wasingeweza kubanana  ktk magari kama 10 hivi na gharama ya mafuta ya magari hayo ingetumika hata  kuchangia ujenzi  wa  chumba  kimoja cha darasa

Related Posts:

0 comments: