Monday, 6 January 2014

HAYA NDIO MAJANGA YA DEVIDI MOYES & MAN UNITED, KUWA NJE FA CUP!

SWANSEA: MARA YA KWANZA KUITANDIKA UNITED OLD TRAFFORD!CHELSEA, LIVERPOOL ZASONGA!

 MAN U YATOLEWA KOMBE LA FA, YAPIGWA 2-1 NA SWANSEA


article-2534083-1A6FC0C100000578-313 634x3931 c4cf8
MIKOSI imeendelea kwa kocha David Moyes, baada ya Manchester United kufungwa mabao 2-1 na Swansea katika Raundi ya tatu ya Kombe la FA na kutolewa.
MATOKEO:
FA CUP: RAUNDI ya TATU
Jumapili Januari 5
Nottingham Forest 5 West Ham 0
Sunderland 3 Carlisle 1
Derby 0 Chelsea 2
Liverpool 2 Oldham 0
Port Vale 2 Plymouth 2
Manchester United 1 Swansea 2
MOYES_n_FERGIE-POAMabingwa wa England, Manchester United, leo wakiwa kwao Old Trafford, wameonja tena kipigo chao cha 4 katika Mechi 6 zilizopita baada ya kutwangwa Bao 2-1 na Swansea City, Timu ambayo katika Historia yao haijawahi kushinda Old Trafford.
Swansea walitangulia kufunga bao kupitia Routledge na Chicharito kusawazisha lakini balaa la kupewa Kadi Nyekundu kwa Fabio zikiwa zimebaki Dakika 10 ziliwaathiri baada Bony kufunga Bao la pili katika Dakika ya 90.
Hata hivyo, katika Mechi nzima, Refa Mike Dean, alionyesha wazi kutowatendea haki Man United hasa maamuzi yake ya Rafu na Kadi.
VIKOSI:
Man United: Lindegaard, Smalling, Ferdinand, Evans, Buttner, Valencia, Fletcher, Cleverley, Kagawa, Welbeck, Hernandez
Akiba: De Gea, Anderson, Giggs, Carrick, Fabio Da Silva, Zaha, Januzaj.
Swansea: Tremmel; Tiendalli, Amat, Chico, Taylor; Britton, De Guzman; Pozuelo, Shelvey, Routledge; Bony
Akiba: Williams, Cornell, Canas, Rangel, Vazquez, Ben Davies, Donnelly.
Refa: Mike Dean

CHELSEA YAPETA KOMBE LA FA

ch b81c2
AKICHEZA mechi yake ya 300, kiungo John Obi Mikel amefunga bao katika ushindi wa Chelsea wa 2-0 katika Raundi ya tatu ya Kombe la FA jioni hii Uwanja wa iPro.


DROO KAMILI:
**Mechi kuchezwa Wikiendi ya Januari 25
Sheffield United v Norwich /Fulham
Birmingham/Bristol Rovers/Crawley v Swansea
Bournemouth/Burton v Liverpool/Oldham
Blackburn/Manchester City v Bristol City/ Watford
Derby/Chelsea v Stoke
Wigan/MK Dons v Crystal Palace
Stevenage v Everton
Arsenal v Coventry
Rochdale v Macclesfield/Sheffield Wednesday
Southend v Hull City
Nottingham Forest v Ipswich/Preston
Port Vale/Plymouth v Brighton
Huddersfield v Charlton or Oxford
Southampton v Yeovil
Bolton v Cardiff
Sunderland/Carlisle v Kiddrminister/Peterborough
THE FA CUP WITH BUDWEISER
MSIMU 2013-14
TAREHE ZA RAUNDI:
-RAUNDI YA 3: Jumamosi Januari 4 [KLABU ZA LIGI KUU ENGLAND HUANZA]
-RAUNDI YA 4: Jumamosi Januari 25
-RAUNDI YA 5: Jumamosi Februari 15
-RAUNDI YA 6: Jumamosi Machi 8
-NUSU FAINALI: Jumamosi Aprili 12 & Jumapili Aprili 13
-FAINALI: Jumamosi Mei 17

Related Posts:

0 comments: