Wednesday, 12 February 2014

ZANZIBAR MWENYEJI WA MKUTANO WA NNE WA BODI YA UFUNDI YA NCHI ZA AFRICA MASHARIKI.

Afisa Mkuu wa Viwango Jumuiya ya Africa Mashariki Willy Musinguzi akielezea changamoto wanazokabiliana nazo juu uzibiti wa bizaa zisizo na viwango katika Mkutano wa bodi ya ufundi ya nchi za Africa (EASC) uliofanyika Zanzibar Beach Resort nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. 02 
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Nassor Ahmed Mazrui akifungua Mkutano wanne wa kujadili juu ya viwango na uzibiti wa ubora kwenye bidhaa, uliofanyika Zanzibar Beach Resort nje kidogo ya Mji wa Zanzibar. 03 
Baadhi ya wajumbe wakimsikiliza wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (hayupo pichani) katika Mkutano wa bodi ya ufundi ya nchi za Africa (EASC) wakujadili viwango na uzibiti wa ubora kwenye bidhaa uliofanyika Zanzibar Beach Resort. 04 
Waziri wa Biashara, Viwanda na Masoko Mhe. Nassor Ahmed Mazrui (wakatikati) katika picha ya pamoja na wajumbe wa Mkutano wanne wa kujadili juu ya viwango na uzibiti wa ubora kwenye bidhaa, uliofanyika Zanzibar Beach Resort Zanzibar.
(Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar).

Related Posts:

0 comments: