Thursday, 20 February 2014

UZINDUZI WA MWAKA WA KILIMO AFRIKA WAFANYIKA IRINGA LEO

 

Mkurugenzi mtendaji  wa jukwaa la  wadau wa  kilimo ANSAF Bw  Audax Rukonge  akizungumza na wanahabari  leo ukumbi  wa RAS Iringa
Wanahabari  Iringa  wakifuatilia  mkutano  huo kulia ni msanii Mrisho Mpoto
Wadau  wa Kilimo  wakiwa katika mkutano  huo  leo
Msanii Mrisho  Mpoto  kulia  akiwa na  wasanii Masoud  Kipanya kushoto na Profesa  Jay leo  katika  ukumbi  wa  mkuu  wa  mkoa  wa  Iringa wasanii hawa ni mabalozi wa   uhamasishaji  wa kilimo kwa  vijana na wanawake  nchini  Tanzania

Related Posts:

0 comments: