Thursday, 13 February 2014

KUITWA KAZINI:TANGAZO LA FEBRUARY 12 2014 KUTOKA UTUMISHI


Katibu wa Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma anapenda kuwaarifu waombaji kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili tarehe 06 hadi 29 Januari, 2014 kuwa walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwa kuripoti kwa Waajiri wao kama ilivyooneshwa katika tangazo hili.
Bofya hapa kupakua (PDF) nakala ya tangazo hilo lenye majina.

Related Posts:

0 comments: